Leo katika Historia:
1837 - Jiji la Chicago laanzishwa huko Marekani.
Ni Jiji la tatu kwa wingi wa watu Nchini humo.
Ni jiji lenye highway nyingi zaidi ndani ya Nchi hiyo.
Pia Jiji hilo lina Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa O'Hare ndio uwanja wa pili Duniani kwa kuhudumia wasafiri wengi na kuwa na ndege nyingi zainazotua hapo kila baada ya muda.
Kuna Vyuo vikuu maarufu vinavyopatika Jijini humo kama University of Chicago na University of Illnois.