Makapuku Forum

Nimesisimuka mwili mzima duu pole sana
 
Habari wakuu nahisi mtakua mnaendelea vizur
Kwakua wote humu ndani ni kama familia moja basi tunapaswa kugawana kile kidogo tunacho kifahamu, kusema hivyo leo rasmi nitaanza makala itakayokua inahusu JE WAJUA ili tuweze kufahamishana vile tusivyojua au kukumbushana yale tunayojua. Pia kutakua na makala ya PHOBIA ili kila mmoja afahamu ni aina gani ya phobia aliyo nayo. Naombeni ushirikiano wenu pia mnikosoe pale nitakapo kosea .
Ahsante soon nitaanza kuporomosha vitu
 
Mkuu pamoja sana ....tuletee mambo
 
Safi mkuu
 
Ndio mkuu ,na ni vizuri waliona mapema kuwa ulimi unajikunja wakajitahid kuukunjua na kuuvuta

Mbali na hapo ingekuwa story nyingine ila credit kwa wachezaji walijitahidI sana
Wachezaji Ulaya na ligi zingine kubwa wamefundishwa First Aid kumbuka mchezaji ndo mtu aliye karibu zaidi na tukio uwanjani kuliko daktari wa timu
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…