Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,232
- 68,262
1797 - Bank ya Uingereza yatengeneza noti ya Pound 1 na 2 kwa mara ya kwanza.
Athanteee de big dikteta musolini5 have a nice dayLeo katika Historia:
Niwatakie Alhamisi njema.
1939 - Kadinali Euginio Pacelli anachaguliwa kuwa Papa wa Kanisa katoliki na anachagua jina la Papa Pius wa 12
1961 - Rais John F. Kennedy anatangaza live kupitia luninga kuanzishwa kwa Peace Corps nchini Marekani.
Peace Corps wanajihusisha na kazi za kijamii kama vile kutangaza asili na tamaduni za Wamarekani kwa wageni na hata kwa raia wenyewe.
Morning bro, kuna ndugu yangu aliumwa vidonda vya tumbo akatumia dawa za TIANS akapona kabisa.....hebu fanya kuwatafuta kama hutajali.Good morning brothers nawatakia siku njema na kwaresma njema. Hali yangu sio nzuri kivile vidonda tumbo vinanisumbua .. Pray for me guyz
1931 - Mikhail Gorbachev anazaliwa.
Ni Rais wa zamani wa Urusi aliyekuwa madarakani wakati USSR inavunjika.
Ni mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel.
Anatajwa kama pandakizi la CIA aliyeangusha Umoja wa Kisoviet wa kijamaa wa USSR kutokana na vita baridi dhidi ya Marekani.
Ugua pole kijana wetu.Thanx sana mpaka sasa sijatoka kitandan mkuu daah naumilia maumivu tu
Ahsante mkuu
Situmii kilevi chochote wala sigara mkuu na sitawahi nitumie
We, acha utani! anaumwa mwenzioMkuu pole sana
Au limemis kiroba
Ngoja nimwiteYupo mkuu
Ila nasikiaa alilipata lijimamalinamkeep buuuuuuuuzeeeeeeee