BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Asante sana Lee Empire ubarikiwe..jana sikusoma kabisa ...nilimis sana hapa mahaliIn addition
Mbaya tu
Maana sio kwa kuwamiss huku
Weekend ijayo najua itakuwa upande wa Liverpool maana big team hazimsumbui
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
R.I.P
.....
Kumbukumbu nzuri asante
R.I.P CAPTAIN JOHN KOMBA..PUMZIKA KWA AMANI AMEN
Upo guantanamo nini?-kidding
Ubarikiwe Lee uwe na siku njema nawe Asante sanaTuwe na Siku njema
Tuwe na Siku njema
Yaaaaah bhinamu na ukumbukee promise yetuuasante mjomba, tunaitafuta Ijumaa sasa
Mkuu pole sana ..Good morning brothers nawatakia siku njema na kwaresma njema. Hali yangu sio nzuri kivile vidonda tumbo vinanisumbua .. Pray for me guyz
Thanx sana mpaka sasa sijatoka kitandan mkuu daah naumilia maumivu tuMkuu pole sana ..
Tusubiri mapicha ya baloziDikteta atakuja mwenyewe, nasafisha njia tuu
Tarehe 2 Machi
2 Mar, 1836 - Jimbo la Texas, ambalo ni la pili kwa ukubwa katika USA linapata uhuru wake toka kwa Mexico.
2 Mar, 1990 - Rais wa kwanza mzalendo baada ya ukaburu kuanguka Nelson Mandela
anachaguliwa kuwa naibu rais wa ANC. Rais wa ANC wakati huo alikuwa ni Oliver Reginald Tambo
Mkuu pole sanaThanx sana mpaka sasa sijatoka kitandan mkuu daah naumilia maumivu tu
Ahsante mkuuMkuu pole sana
Au limemis kiroba
Ubarikiwe sanaa mkuuAhsante mkuu
Situmii kilevi chochote wala sigara mkuu na sitawahi nitumie
Ahsante mkuu hv transcend kapotelea wap au yupo migodiniUbarikiwe sanaa mkuu
Yupo mkuuAhsante mkuu hv transcend kapotelea wap au yupo migodini
Hongera yake bwana wengine tunatafuta bahat kama hzoYupo mkuu
Ila nasikiaa alilipata lijimamalinamkeep buuuuuuuuzeeeeeeee
bashite buana si anywe maji iisheMorning kapuku