1986 - Waziri Mkuu wa Sweden Olof Palme anauwawa.
Alikuwa na mkewe wanatoka Cinema na kurudi Nyumbani majira ya usiku, akatokea mtu asiyejulikana kwa nyuma akamshambulia Waziri Mkuu kwa risasi na kutoweka.
Mpaka leo haijulikani ni nani alimuua Waziri Mkuu huyo aliuekuwa kipenzi cha Wanyonge.