Makapuku Forum

1986 - Waziri Mkuu wa Sweden Olof Palme anauwawa.

Alikuwa na mkewe wanatoka Cinema na kurudi Nyumbani majira ya usiku, akatokea mtu asiyejulikana kwa nyuma akamshambulia Waziri Mkuu kwa risasi na kutoweka.

Mpaka leo haijulikani ni nani alimuua Waziri Mkuu huyo aliuekuwa kipenzi cha Wanyonge.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…