RelaxUpuuzi!!!
Heri ya siku yako kubwa Mussolin 5 Mungu akupe maisha marefu yenye heri Na baraka tele ufanikiwe uwe na furaha Na amani daima Happy Birthday,enjoy your day- Leo ni siku ya Kuzaliwa kwa Dikteta wa Makapuku Forum, Mussolin5
Namshukuru Mungu kwa kunibariki kufika siku hii kubwa kwangu, shukrani na pongezi pekee zeinde kwa wazazi wangu, sina cha kuwalipa zaidi ya kuwaombea kwa Mungu awabariki katika maisha yao.
Happy birthday to ME.
hawana lolote ni kama kina wolper .....fs.Relax
Acha chuki za kijinga
Kila mtu ana Uhuru wa kuchagua chama na hata kuhama
Mimi sishabikii popote ila nimeguswa tu na hiyo swaga
......
Amen nawe piaLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema na maandalizi mema ya Wikendi.
Sawa CCMhawana lolote ni kama kina wolper .....fs.
Salama kabisaPeoplezzzzzz jambo jambo?
Relax
Acha chuki za kijinga
Kila mtu ana Uhuru wa kuchagua chama na hata kuhama
Mimi sishabikii popote ila nimeguswa tu na hiyo swaga
......
Kumbe jamaa ni checheme!!!

Kweli Bitoz hakuna tuombee hata maaduiRelax
Acha chuki za kijinga
Kila mtu ana Uhuru wa kuchagua chama na hata kuhama
Mimi sishabikii popote ila nimeguswa tu na hiyo swaga
......
Haya mama MchungajiKweli Bitoz hakuna tuombee hata maadui

Tutake radhi mashabiki wa Simba![]()
Kesho ndio kesho
Hata tukiingiza mademu uwanjani Simba atakufa
.......
Happy birthday dikteta- Leo ni siku ya Kuzaliwa kwa Dikteta wa Makapuku Forum, Mussolin5
Namshukuru Mungu kwa kunibariki kufika siku hii kubwa kwangu, shukrani na pongezi pekee zeinde kwa wazazi wangu, sina cha kuwalipa zaidi ya kuwaombea kwa Mungu awabariki katika maisha yao.
Happy birthday to ME.