Makapuku Forum

Nipo poa sana mjombaangu, sema tu kunguni wamevamia majirani zangu, hawalali na wananinyima usingizi kwa makelele.
Siku njema anko
Ulinambia ata juzi ...kwa hiyo wanakukomoaa ? Hivi yule wa nyumba t pili kushoto kuelekea kusin kulia mtaa wa pili kutoka kwako kama unaifata nyumba ya jirani yako shululu ashaacha tabia yake ya kufungulia MZIKI mnene usiku wa manane ..??
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…