Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,230 Reaction score 68,262 Feb 15, 2017 #136,541 lee empire said: LEO KATIKA HISTORIA: 1984:Askari 500,000 wa Jeshi la Iran waliingia nchini Iraq kwa ajili ya mapambano ya kivita. Nchi hizo jirani ziliingia kwenye mgogoro uliodumu kwa miaka minane kuanzia 1980 – 1988. Click to expand... Ngoja niendelee kutoka hapa ulipoishia
lee empire said: LEO KATIKA HISTORIA: 1984:Askari 500,000 wa Jeshi la Iran waliingia nchini Iraq kwa ajili ya mapambano ya kivita. Nchi hizo jirani ziliingia kwenye mgogoro uliodumu kwa miaka minane kuanzia 1980 – 1988. Click to expand... Ngoja niendelee kutoka hapa ulipoishia
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,230 Reaction score 68,262 Feb 15, 2017 #136,542 Leo katika Historia: 1804 Mapinduzi ya Serbia yaanza rasmi.
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,230 Reaction score 68,262 Feb 15, 2017 #136,543 1923 - Ugiriki yawa nchi ya mwisho ya Ulaya kufata mfumo wa Kalnda wa Gregory.
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,230 Reaction score 68,262 Feb 15, 2017 #136,544 1965 - Bendera ya sasa ya Canada yaanza kutumika kwa mara ya kwanza.
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,230 Reaction score 68,262 Feb 15, 2017 #136,545 1969 - Rapa Birdman anazaliwa. Ni mwanamuziki wa Hiphop toka nchini Marekani. Baba wa kambo wa Lil Wayne.
1969 - Rapa Birdman anazaliwa. Ni mwanamuziki wa Hiphop toka nchini Marekani. Baba wa kambo wa Lil Wayne.
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,230 Reaction score 68,262 Feb 15, 2017 #136,546 1979 - Mapacha Hamish Marshall na James Marshall wanazaliwa. Ni wachezaji wa mchezo wa Cricket toka nchini New Zealand.
1979 - Mapacha Hamish Marshall na James Marshall wanazaliwa. Ni wachezaji wa mchezo wa Cricket toka nchini New Zealand.
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,230 Reaction score 68,262 Feb 15, 2017 #136,547 1983 - Mapacha Phillip Degen na David Degen wanazaliwa. Ni wachezaji wa mpira wa miguu toka nchini Uswizi.
1983 - Mapacha Phillip Degen na David Degen wanazaliwa. Ni wachezaji wa mpira wa miguu toka nchini Uswizi.
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,230 Reaction score 68,262 Feb 15, 2017 #136,548 1988 - Rui Patricio anazaliwa. Ni golikipa wa timu ya taifa ya Ureno.
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,230 Reaction score 68,262 Feb 15, 2017 #136,549 Leo katika Historia Sina la ziada, jioni njema wakuu.
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,226 Reaction score 39,947 Feb 15, 2017 #136,550 Shunie said: hahahhh kumbe umemuona yy na shululu hawana tofauti Click to expand... Jamani jamani .....give me a break!
Shunie said: hahahhh kumbe umemuona yy na shululu hawana tofauti Click to expand... Jamani jamani .....give me a break!
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,226 Reaction score 39,947 Feb 15, 2017 #136,551 lee empire said: Laoo mojaaa Ila aliletaa barua ya posaa sema anaona gereee .. Click to expand... Kukuita Shafii Dauda tayari umeniweka kundi moja na Shu
lee empire said: Laoo mojaaa Ila aliletaa barua ya posaa sema anaona gereee .. Click to expand... Kukuita Shafii Dauda tayari umeniweka kundi moja na Shu
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,226 Reaction score 39,947 Feb 15, 2017 #136,552 Transcend said: Wanazi wa arsenal mmejiandaa kisaikolojia..? Click to expand... Wapi Shululuuu!!! atafute diclopa kabisa
Transcend said: Wanazi wa arsenal mmejiandaa kisaikolojia..? Click to expand... Wapi Shululuuu!!! atafute diclopa kabisa
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,226 Reaction score 39,947 Feb 15, 2017 #136,553 Shunie said: hahahhh kumbe umemuona yy na shululu hawana tofauti Click to expand... We sio wakunisema Hivi.....nabata ushungu!.....nabata ushungu!
Shunie said: hahahhh kumbe umemuona yy na shululu hawana tofauti Click to expand... We sio wakunisema Hivi.....nabata ushungu!.....nabata ushungu!
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,004 Feb 15, 2017 #136,554 werrason said: Jamani jamani .....give me a break! Click to expand... werrason said: Kukuita Shafii Dauda tayari umeniweka kundi moja na Shu Click to expand...
werrason said: Jamani jamani .....give me a break! Click to expand... werrason said: Kukuita Shafii Dauda tayari umeniweka kundi moja na Shu Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,004 Feb 15, 2017 #136,555 werrason said: We sio wakunisema Hivi.....nabata ushungu!.....nabata ushungu! Click to expand... hahahahh nisamehe tu mukongo
werrason said: We sio wakunisema Hivi.....nabata ushungu!.....nabata ushungu! Click to expand... hahahahh nisamehe tu mukongo
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,226 Reaction score 39,947 Feb 15, 2017 #136,556 salaniatz said: Click to expand... Photoshop!!! Mbona tairi haionyeshi kuelemewa?
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Feb 15, 2017 #136,557 Mussolin5 said: Leo katika Historia: 1804 Mapinduzi ya Serbia yaanza rasmi. Click to expand...
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,226 Reaction score 39,947 Feb 15, 2017 #136,558 Mussolin5 said: Leo katika Historia Sina la ziada, jioni njema wakuu. Click to expand... thanks Musso
Mussolin5 said: Leo katika Historia Sina la ziada, jioni njema wakuu. Click to expand... thanks Musso
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,226 Reaction score 39,947 Feb 15, 2017 #136,559 Shunie said: hahahahh nisamehe tu mukongo Click to expand... aya
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Feb 15, 2017 #136,560 Mussolin5 said: 1923 - Ugiriki yawa nchi ya mwisho ya Ulaya kufata mfumo wa Kalnda wa Gregory. Click to expand...
Mussolin5 said: 1923 - Ugiriki yawa nchi ya mwisho ya Ulaya kufata mfumo wa Kalnda wa Gregory. Click to expand...