Makapuku Forum

Nani wa kulisimamisha wakati wananchi hatuna mshikamano na uthubutu???
 
Nani wa kulisimamisha wakati wananchi hatuna mshikamano na uthubutu???
Kama ni hivyo basi kuna wa kulaumiwa? Pengine maajabu yatokee paka wenyewe wakinai kuwamung'unya panya bila kufungwa kengele au dereva mwenyewe abadili welekeo kwa hiari yake. Yote yawezekana ati! Haya mambo wakati mwingine ni magumu na yako complicated sana....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…