Makapuku Forum

Umma ungekuwa unajua nguvu ulizonazo mbele ya washikilia mpini kamwe usingetawalika wala kuhadaika kirahisi. Umma ni maji na washikilia mpini ni samaki. Samaki bila maji hawezi kuishi lakini uwepo wa maji haukamilishwi na uwepo wa samaki...Ngoja nikome hapa nisije nikapachikwa uchochezi bure. Jumamosi inaendeleaje Makapuku?
 
Bongo watawala wanatumia kanuni ya divide n rule
 
Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofika usiku unatakakutoka kwenda kujisaidi kwasababu taa zimezimwa unaparamia vyombo vya chakula sebleni kipindi unajaribu kupapasa uviweke sawa mara taa inawashwa na mama mkwe anaona umeshika vyombo anakwambia, baba kama ukushiba ungesema
 
Ilikutokea ni nini
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…