sawa🙁🙁🙁🙁🙁Jamani mummy, nsamehe bure hayo yalikuwa matani tu. Naahidi sitorudia tena mpenzi sawaa!?
Uwahi kurudi nimekumiss mpenzi.sawa🙁🙁🙁🙁🙁
Mkuu, vipi lakini?Hahaha,![]()
![]()
![]()
![]()
Niko poa kabisa mkuu.Mkuu, vipi lakini?
ntawahi hny..Wape hi mawifi na mashemeji humuUwahi kurudi nimekumiss mpenzi.
Indeed niko pouwaa kabisa.Niko poa kabisa mkuu.
Hope you are doing great!
Poa mkuuIndeed niko pouwaa kabisa.
Usijali baby wangu nitawasalimia.ntawahi hny..Wape hi mawifi na mashemeji humu
Ndio tulivyoumbwa!Wanawake ni kama mwanga unaopendezesha huku ndani, pindi wanapo ondoka giza la kutisha hulikumba kundi ...
sijui kwa nini
Shemeji naye anapotea sana.Usijali baby wangu nitawasalimia.
cc: Th Name,
youngblood,
sumbai,
manuu,
peterchoka,
Le prezdaa Bitoz,
Linamo,
lizziebettie,
amaizing,
cute b,
Nahrene.
Mnasalimiwa na my sweet aggyjay.
Zimefika na kupokelewa kwa mikono miwili nasi tunamtakia jtatu iliyotukuka shemeji yetu aggyjayUsijali baby wangu nitawasalimia.
cc: Th Name,
youngblood,
sumbai,
manuu,
peterchoka,
Le prezdaa Bitoz,
Linamo,
lizziebettie,
amaizing,
cute b,
Nahrene.
Mnasalimiwa na my sweet aggyjay.
Wow wow! Shemeji upo poa lakini?Ndio tulivyoumbwa!
Niko poa shem, sijui weye?Wow wow! Shemeji upo poa lakini?
Kuna kazi anaifanya then anarudi, braza usijali.Shemeji naye anapotea sana.
Mkuu hujaona baada ya shemeji yetu Nahrene kuja youngblood amepata raha isiyo kifani...Yaan hadi anatumia loud speaker kuongea naye ili kwa wale waliodhania mabaya wajue wameshindwa...Dah kweli wanatutesa wanapo jificha..Wanawake ni kama mwanga unaopendezesha huku ndani, pindi wanapo ondoka giza la kutisha hulikumba kundi ...
sijui kwa nini
Shemeji liz, mumeo kaenda wapi leo?Niko poa shem, sijui weye?
Shem mimi niko zaidi ya poa ni jtatu hii nachapa kazi huku pembeni napata kiburudisho cha huku ndani..Niko poa shem, sijui weye?
Sawa bro,asichelewe sana.Kuna kazi anaifanya then anarudi, braza usijali.