Makapuku Forum

Makapuku Forum

3c35f43f503959dec607ca34503657b8.gif
c43e98b882c70255289b8485eb04d852.jpg

Mashati makubwa na akili zake km Le Mutuz

.....
 
Mchagga hata apate kazi bank bado atasema yupo "kibaruani".

Acha sasa Mhaya apate kazi katka mashine ya kusaga na kukoboa;
utaskia "I work as a crucial engineer in a monocotyledon finalizing company"

nimeskia kwa jirani tu, sijamtaja mtu.
 
Yepi? vigodoro? I hate them like sh-t


...achan hizo, kuna mechi zetu, mwamuzi kibaka , kitumbua kikidondoka kinapanguswa kitu pwani. Tunasalimiana na kujuana mtaa mzima, hakuna kutombokeana ila hatuna shida na kulombeana maana mafundi wamejaa na tunahitaji kusambaziana upendo.
Unajuana na tunajuana ndo maana tunabarikiana kwa dhiki.
Kuna kingine unataka kujua unachokosa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom