Makapuku Forum

Makapuku Forum

a328f9a04672ce8b0bb713db7103d1a4.gif

AFCON FINAL
Misri v Cameroon
.........
 
1deee15aadc46a0cd57727f388122837.gif
Wamepotesa bahati ya kuwepo kwenye kikosi cha kukumbukwa km mashujaa

Samtaimu heshima ni bora kuliko pesa
........

Ni hawa hapa
Joel Matip difenda mzuri tu ambaye kaanza katika mechi 12 za Liva na kascore goli moja
André Onana (Ajax d’Amsterdam),
Guy Roland Ndy Assembe (Nancy),
Allan Nyom (West Bromwich),
André Zambo Anguissa (Olympique Marseille),
Ibrahim Amadou (Lille) -

Sababu ya kutotaka kuchezea timu ya taifa ni hofu kuwa watakosa namba katik vilabu vyao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom