Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,278
- 35,639
make-up ndo habari ya mjini. [Kazi kwenu wakaka![]()
![]()
![]()
![]()
Tunaolamba hizi make-ups tunajikinga na kansa. Wadada endeleeni kujikandika mamekapu kwa kutulinda
make-up ndo habari ya mjini. [Kazi kwenu wakaka![]()
![]()
![]()
![]()
Usimchezee chatu ooh chatu eeh,Hafi mtu ...kwanza nawaruhusu waingie kwenye mapambano waone kama watang'oa kisiki
gongo usimtupie utaukosa ushindi.....

Kwelii pappaaUsimchezee chatu ooh chatu eeh,![]()
![]()
gongo usimtupie utaukosa ushindi.....
![]()
![]()
Yaaani tunanza valentine mapemaaa....Tar 14 ni kilele tuu kama sikukuu ya 8/8 .
Clkey is my omotola! Every kapuku should know that

Hii biznez siyo ya kispot spot
Na mimi nimeamua wifi yako apumzike Leo namsaidia kila kitu

Morning family

Afwande sacajo mambo iko byeeMutu ya congo mambo iko ni gani??
Mapenzi mubashara
Nasaidia sana Papaa, ile lubumbashi na Bukavu najua mimi pedyegyee MukubwaTajiri isiyo saidia ndugu zake kule kwa congo
Shemela yupo?Mapenzi mubashara
Hatujui kama amefika salama au hapana ...last seen yake ni jana alfajiri wasije kuwa wamempiga kipapai make kuna kidosho alikua anakitamani
Important update ,mtafute zero frem ana ujumbe wako

Nitakosaje kwa mfanoo![]()
![]()
![]()

Yupoo hapa katuliaaShemela yupo?
Bwahahahahaaaalee empire mbona anasema kachukuliwa

Msalimie sanaYupoo hapa katuliaa
Asante Na usiku mwemaAmen, nawe pia
Kapuku anakula kwa urefu wa kamba yake ...
Nafata maji kwa mangi

Chee!Hahahaaa upo tayari kuwa bwana mdogo?
