Ujumbe murua kabisaKaribu, hapa ni chitchat tunapiga stori za maisha, michezo, vichekesho na utani ule mzuri.....tunakuja hapa kutua stress so ni mwiko kutusi/kuudhi member mwenzio hapa ni peace n love
Kama una swagger zako ruksa kumwaga swagger
And.....Toa like upate like
Umemjuaje?Sawa brother pepe kale
Mkuu karibu sana wala hujakosea njia ...apa ndo jamvi la wana kapuku upendo mwanzo mwisho ,muhimu kutomkera mtu ,gonga like upate likeNatangaza rasmi leo ndio najiunga na Makapuku rasmi kwa moyo wangu mkunjufu bila kusukumwa na mtu Bitoz lee empire werrason BlessedHope Jimena Transcend nahitaji mnipokee, mnielekeze na kunisapoti ili kufuata ilani ya makapuku inavyosema
Daaa nitafutie kabinti karembo unakokafahamu mkuu maanaMkuu karibu sana wala hujakosea njia ...apa ndo jamvi la wana kapuku upendo mwanzo mwisho ,muhimu kutomkera mtu ,gonga like upate like
Karibu sana na kama hupo single usisite kutangaza fursa
Kwa vichekesho na utani hapa ndio penyewe broKaribu, hapa ni chitchat tunapiga stori za maisha, michezo, vichekesho na utani ule mzuri.....tunakuja hapa kutua stress so ni mwiko kutusi/kuudhi member mwenzio hapa ni peace n love
Kama una swagger zako ruksa kumwaga swagger
And.....Toa like upate like
Hakoseagi huyu jamaaUjumbe murua kabisa
Pitia kwa mwanakamati shululu mkuuDaaa nitafutie kabinti karembo unakokafahamu mkuu maana
Mkuuubwaaaa hope uko poa jembeUmemjuaje?
Mkuuu ebu toa exaaampooooKwa vichekesho na utani hapa ndio penyewe bro
Bro utaniona tu si ndio naanza kukinukisha humu tuombe uzima tuMkuuu ebu toa exaaampoooo
Hii inanihusu na mm auPitia kwa mwanakamati shululu mkuu
mukongo mutu ya pesa mingiiiiiKaribu, hapa ni chitchat tunapiga stori za maisha, michezo, vichekesho na utani ule mzuri.....tunakuja hapa kutua stress so ni mwiko kutusi/kuudhi member mwenzio hapa ni peace n love
Kama una swagger zako ruksa kumwaga swagger
And.....Toa like upate like
Nimeelekezwa na lee ufalme nije unipe maelezo about gals wa humu how to get themHii inanihusu na mm au
shemela mzima nimepata salaam zakoNi kweli pale atapata usafiri
hahahh huyu said michael ipo siku yake