Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Pole sana! Yaani humu mnapokezana vijiti...kapona lee sasa hivi ni mondrayJaamani habarini za asubuhi daaa mm najihisi kuumwa
Hii familia ya makapukuz kweli kazi
Pole sana! Yaani humu mnapokezana vijiti...kapona lee sasa hivi ni mondrayJaamani habarini za asubuhi daaa mm najihisi kuumwa
Niko salamaKwema mkuu! Upo salama?
Kwema kuu, usalama upo, vp pande hizoKwema mkuu! Upo salama?
Nakutakia mihangaiko memaNiko salama
Pande hizi mambo pouwa kabisaa....Kwema kuu, usalama upo, vp pande hizo
Na wewe pia mkuuNakutakia mihangaiko mema
Looool yaan sijui ndio njaa yenyewe ila nikiwa na hii familia ya makapuku shida za ugonjwa nasahauPole sana! Yaani humu mnapokezana vijiti...kapona lee sasa hivi ni mondray
Hii familia ya makapukuz kweli kazi
AmenBlessed nawe pia
Morning mkuuMorning
Mkuu nenda jangwani kwa transporter agent beba beba mizigo alfajiri unaondoka naoMakapuku nataka nisogee nje ya mkoa nielekee kanda ya ziwa, msaada tafadhali wapi napata usafiri hata wa lori najua siwez afford bus mimi kapuku, destination mwanza, bihalamuro, kahama.
Pole ndugu, umeenda hospital?Jaamani habarini za asubuhi daaa mm najihisi kuumwa
Ndio brother maralia inanikamua aiseePole ndugu, umeenda hospital?
Karibu, hapa ni chitchat tunapiga stori za maisha, michezo, vichekesho na utani ule mzuri.....tunakuja hapa kutua stress so ni mwiko kutusi/kuudhi member mwenzio hapa ni peace n loveNatangaza rasmi leo ndio najiunga na Makapuku rasmi kwa moyo wangu mkunjufu bila kusukumwa na mtu Bitoz lee empire werrason BlessedHope Jimena Transcend nahitaji mnipokee, mnielekeze na kunisapoti ili kufuata ilani ya makapuku inavyosema

EwaahMkuu nenda jangwani kwa transporter agent beba beba mizigo alfajiri unaondoka nao

Ugua pole Bablai, twakuombea upone harakaNdio brother maralia inanikamua aisee

Ni kweli pale atapata usafiriMkuu nenda jangwani kwa transporter agent beba beba mizigo alfajiri unaondoka nao