Kazi nzito nzito ndiyo hasa zinazotakiwa kwa mwanaume popote alipo. Imagine nimekwenda kwa Trump wiki mbili hatimaye ishu niliyokuwa nahangaika nayo kwa muda mrefu ikaitika...and more to come
. Sasa hata nikianza "utani" na Shunie mambo siyo mabaya
.