Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Nilifikiri umeanza kubeba mawe badala ya boxTrump aje kunitoa kwetu Misungwi? Aje basi ajaribu kama ndege yake itaruka. Ohooo!!!
.........
Nilifikiri umeanza kubeba mawe badala ya boxTrump aje kunitoa kwetu Misungwi? Aje basi ajaribu kama ndege yake itaruka. Ohooo!!!
Hali ya vyakula mashambani siyo nzuri na watu wanamalizia vyakula walivyovuna mwaka jana. Baada ya hapo sasa kila mtu anaanza kubeba limsalaba lake !!!...huko usukumani hakuna njaa? Mbute na michembe iwasaidie
HahahahhhIle mihoni aliyokuwa anapiga, ha ahahahaha, nafikiri aliwahi kuwa dereva wa maharusi huko bush (FYI nimetokea bush pia)
Nashikaga baba nene gitachang'wa lishimba likenaguji. Nipo bandugu!
Itakuwa hatari sanaHali ya vyakula mashambani siyo nzuri na watu wanamalizia vyakula walivyovuna mwaka jana. Baada ya hapo sasa kila mtu anaanza kubeba limsalaba lake !!!
Sijakuelewa Madenge. Fafanua. Halafu siyo wote walioko kwa Trump wanabeba maboksi dogo. Wasomi wetu walioko kule ukiwaona na mambo ya maana wanayofanya huko unaweza kulia. Wewe umekariri boksi.Nilifikiri umeanza kubeba mawe badala ya box
![]()
![]()
![]()
.........
Wabeja. Ninao hawa mpaka audio yao. Sasa hata mbina za Bagika na Bagalu zimeshakuwa commercialized. Hazina mvuto kama zamani.
Kiburudisho kidogo,
Mawe=kazi nzitonzitoSijakuelewa Madenge. Fafanua. Halafu siyo wote walioko kwa Trump wanabeba maboksi dogo. Wasomi wetu walioko kule ukiwaona na mambo ya maana wanayofanya huko unaweza kulia. Wewe umekariri boksi.
Post ya 133000 ...133k n nini naonaga tu
Usikasirikee nshafika b*byhahahhh mfyuuu
Bhinamuu nimekipataa....kwa hiyo umekipata mjomba au ndo sound za muumini Mwinjuma kocha wa dunia
Nimekipata tayarHa ahahahaha, Lee yupo karudia kitu anadai alikisahau
AhaaaaaaaaaaaahShimba ya BUYENZE ana nini tena jamani? Mbona mi nipo huku Usukumani nakula ugali na mlenda bila wasiwasi wo wote?
Umeadimikaa mkuuTrump na Shimba wapi na wapi? Kwa Trump mi naendaga kwa muda usiozidi majuma mawili kila mwaka tena kwa mwaliko maalum. US Baby anaonekana? Huyo pengine ndo yuko hatarini kama hajachukua uraia au Green Card![]()
Kazi nzito nzito ndiyo hasa zinazotakiwa kwa mwanaume popote alipo. Imagine nimekwenda kwa Trump wiki mbili hatimaye ishu niliyokuwa nahangaika nayo kwa muda mrefu ikaitika...and more to comeMawe=kazi nzitonzito
Mkuu najua hilo niliongea kiutani tu
![]()
![]()
![]()
.......


. Sasa hata nikianza "utani" na Shunie mambo siyo mabaya 

.
Ila kijasho kimekutokaBhinamuu nimekipataa
karibu baba biteUsikasirikee nshafika b*by
ooh ya makapukuPost ya 133000 ...
hahahhh shululu mgomviIla kijasho kimekutoka
Haya subiri mafuriko ya wadada PMKazi nzito nzito ndiyo hasa zinazotakiwa kwa mwanaume popote alipo. Imagine nimekwenda kwa Trump wiki mbili hatimaye ishu niliyokuwa nahangaika nayo kwa muda mrefu ikaitika...and more to come. Sasa hata nikianza "utani" na Shunie mambo siyo mabaya
.
![]()