Makapuku Forum

1980 - Xavi Hernandez anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Barcelona na timu ya taifa ya Spain.

Anatajwa kama kiungo bora kabisa wa kati kuwahi kutokea katika mchezo wa soka. Pia alikuwa ni muhimili wa mfumo wa tiktaka, mfumo wa kupiga pasi uliokuwa unachezwa na Barcelona na timu ya taifa ya Spain kuanzia mwaka 2008-12.

Ameshinda kila taji kwa upande wa klabu na timu ya taifa.

Tuzo pekee aliyoikosa ni Ballon D'or ambapo bila shaka FIFA walimuhujumu yeye pamoja na Iniesta.

Kwangu mimi yupo kwenye First Eleven yangu bora ya wakati wote.
 
1984 - Robinho anazaliwa.

Ni mwanasoka toka nchini Brazil.

Wakati anachipukia alitajwa kama nyota hatari atakayekuja kuuteka mchezo wa soka, lakini ameshindwa kuonyesha uwezo wake na sasa mpira unaeleka mwishoni kwani umri ushaanza kumtupa mkono.

Alipitia klabu kama Man City, Real Madrid, Ac Milan nk
 
Mtukutu
 
Ni kweli walimuhujumu aisee
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…