Makapuku Forum

Bitozi c wote hatuna pesa
Kuna wenzetu haziwapigi chenga hizi ndogo ndogo
Zile ni hisia zangu
Najua kuna watu mambo yao safi maana hapa kuna wasomi,wafanyabiashara,wakulima
Pia wengine wapo Sauzi,Ulaya na Marekani

Nilitaka kuonesha jinsi utandawazi unavyoweza kumuingizia mtu hela kwa uhakika maana WhatsApp group na blog ni tofauti mfano ukijiunga leo huwezi kukuta meseji/story zilizopita
.........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…