Mimi nimeandika kwa hisia tu maana kwa usawa huu wa Magufuli na zama za Utandawazi ni vigumu kulipia group la whatsapp....naona njia rahisi labda aanzishe blog maana atalipwa according to idadi ya views + matangazo
........
Zile ni hisia zangu
Najua kuna watu mambo yao safi maana hapa kuna wasomi,wafanyabiashara,wakulima
Pia wengine wapo Sauzi,Ulaya na Marekani
Nilitaka kuonesha jinsi utandawazi unavyoweza kumuingizia mtu hela kwa uhakika maana WhatsApp group na blog ni tofauti mfano ukijiunga leo huwezi kukuta meseji/story zilizopita
.........