Makapuku Forum

Msimamizi wa jukwaa(moderator) anaijua kazi yake......halafu Th Name now ndo Bailly5 hivyo ni mtu mmoja sema kabadili ID


Mi ninachojiuliza ni lini Jf itaweza kuwa km YouTube yaani thread ikifikisha idadi fulani ya views mfano 1m Views kungekuwa na malipo Fulani hii ingeleta ushindani wa watu kuanzisha vitu vyenye akili na mvuto mfano mi napenda na kujua masuala ya mitindo/mavazi lakini jukwaa husika niliweka thread 3{moja mod aliifanya sticky) halafu nikagundua kuna mablogger "wanaiba" thread zangu tangu hapo nikaacha kuanzisha thread maana Blog zinalipwa kwa jasho/ubunifu wangu

Kwa wasiojua hata WhatsApp ukianzisha ujumbe/video/picha ikisambaa kwa kiwango fulani unalipwa ndio maana utasikia "tuma kwa watu 10" wale siyo wajingawajinga wanajua wafanyalo
........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…