shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Njema kabisa, umepotea sanaPoa, uko njema?
Njema kabisa, umepotea sanaPoa, uko njema?
Karibu ila...Bitoz [FF0000]mm ni mgeni humu nikaribishe
Naona kwa spidi ya kobe kf inaendelea....mbeleNjema sana
Gudi nite shululuMorning Tetramelyz
We ni yupi hapo
Halafu eti wengine tunalia maisha magumu!
Wachina walianzia mapinduzi yao kwenye agri business. Vyerehani na vimitambo vya SIDO kwenye kilimo. Pole pole wakajikongoja na leo wako mbali. Hata sisi inabidi tuanzie huko. Inaumiza moyo kuona kuwa mpaka leo wakulima wetu bado wanatumia jembe la mkono. Halafu tuna ndoto ya kuwa taifa la viwanda. Maajabu kabisa!
Awamu hii ubunifu muhimuWachina walianzia mapinduzi yao kwenye agri business. Vyerehani na vimitambo vya SIDO kwenye kilimo. Pole pole wakajikongoja na leo wako mbali. Hata sisi inabidi tuanzie huko. Inaumiza moyo kuona kuwa mpaka leo wakulima wetu bado wanatumia jembe la mkono. Halafu tuna ndoto ya kuwa taifa la viwanda. Maajabu kabisa!
Nawe piaUsiku mwema wote humu
Kweli ubunifu ni muhimu kwenye hii awamu. Sera ya kila mtu ataubeba msalaba wake haina huruma na mtu ukizubaa unakufa njaa na familia yako. Karibu nchi nzima hakuna mvua. Ngoja tuone tutakavyobeba misalaba yetuAwamu hii ubunifu muhimu




