Makapuku Forum

Makapuku Forum

Morning all kapuku ,ni jumapili tuliyobarikiwa tena ,yafuatayo ni magazeti ya leo
e1b81f6a7ebdc5890b7f4c8f2ae614f6.jpg
6803e801f69ac47c477bafa38a9d31f2.jpg
497fcf4e477ac8140ad9ae567ffc1d9a.jpg
64d125723953f35d50b7fc84a787061a.jpg
d2d36f1cc69c62d54730c484e662ee8a.jpg
5ed0b4e91a6aed085762977c5ba97978.jpg

kweli anko nakukumbuka sana
Asante sana kwa magazeti ya leo mkuu Lee
 
2017 TUNAOMBA SERIKALI ISIMAMIE YAFWATAYO:
1.mimba zipunguzwe miez badala ya 9 ziwe mi4

2.nauli ya ndege kwenda south africa iwe bure coz ni mteremko

3.sukuma wiki ichunguzwe kwa nn haiwez sukuma mwez au mwaka

4.siku za mwiz walau ziwe 90 sababu uchum umekua mgumu

5.viroba vishushwe bei viuzwe mia mbili

6.chumvi iuzwe bei ya sukari na sukari iuzwe bei ya chumvi

7.pombe ijazwe chupa.....hii tabia ya kuacha nafasi kidogo ni kutuibia

8.donati lisiwe na shimo katikati....la kazi gani?

9.vocha za buku ziuzwe 900 tupate mia za kukwangulia

10.tujenge vibanda vya chips bata tumechoka kuku........

*Nawaza tu kapuku sina hili wala lile*
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom