Makapuku Forum

LEO KATIKA HISTORIA: 1929: Mfalme Alexander wa kwanza alivunja Katiba ya nchi ya Yugoslavia, kisha kuiongoza nchi hiyo kimabavu. Yugoslavia ilikuwa ni muunganiko wa nchi za Serbia, Solvakia na Kroshia ambazo zilitengana baada ya vita ya kwanza ya dunia.
 
LEO KATIKA HISTORIA: 1950: Uingereza na Serikali ya kikomonisti ya China zilirejesha uhusiano wake wa kidiplomasia. Kabla ya hapo mataifa hayo mawili yalikuwa katika vita baridi licha ya kuwa yaliungana wakati wa vita ya kwanza na ya pili ya dunia.
 
 
Umefanya jambo zuri uwe unatuletea daily....Dikteta alishasemaga majukumu yamemtinga
kuwa huru
.........
Na siwezi sema kama ntaweza mkuu make mfano magazeti nikiwa naenda job ndo huwa najitahd kuweka na mchana ndo atlst nakuwa free kidogo mida ya lunch sema ntajitahd
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…