
Kama jasho la kapuku laliwaa mwache aje bure

hakutukanae hakuchagulii tusi lee umenichoka unaacha kuniambia nifanye mazoezi na diet nipungue
anapenda vibonge

Bajeti inabana, hapana chezea hapa kazi tu!

Nawaonea wivuKweli lee unanijari acha niongezeke

Tunakusubiri kwa LamarSometimes mitikas inafanya hatuonani///
Lakin msihofu siwez poteza Iman//
Moyon nyie n Ndugu sio leo tang Zaman//![]()

Nisipokujari mimi nani mwingine sasa afanye hivo ? Make naona mukongo alikuja na dollar sijui kapotelea wapi
sio kwa majungu haya
sina dukuduku tutaenda sawa tu,
kama sikosei kuna sehemu kasema ana kauzito kakutosha kidogo tutashirikia kupunguza hizo nyama

Unahesabu lakini?

Niajeee mukongo