Kweli lee unanijari acha niongezekeUmeona navokujalii
karibu sana jiskie upo nyumbanisiku yangu ya kwanza humu shunie nikaribishe please
karibu sana jiskie upo nyumbani




Nisipokujari mimi nani mwingine sasa afanye hivo ? Make naona mukongo alikuja na dollar sijui kapotelea wapiKweli lee unanijari acha niongezeke
Karibu sana mkuu apa upendo ndo jadi yetuniliomba anikaribishe tu mkuu

nashukuru sana mkuuKaribu sana mkuu apa upendo ndo jadi yetu![]()
![]()
Pamojaa mkuuSometimes mitikas inafanya hatuonani///
Lakin msihofu siwez poteza Iman//
Moyon nyie n Ndugu sio leo tang Zaman//![]()
Mkalibishe na ww

Nisipokujari mimi nani mwingine sasa afanye hivo ? Make naona mukongo alikuja na dollar sijui kapotelea wapi





Ila shunie kakukaribisha vizuri ,au una dukuduku ??nashukuru sana mkuu
sina dukuduku tutaenda sawa tu,Ila shunie kakukaribisha vizuri ,au una dukuduku ??
Nimeishafanya hivo wanguMkalibishe na ww![]()