Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,636
- 4,420
Uwe na siku njema
Uwe na siku njema
Nimetoka jukwaa la siasa kuna mtu anatumia avatar kama ww nilijua ww kusoma jina sioKituo kipya cha mabasi kitajengwa wapi?
Najua ni matamko na siyo utekelezaji tu geambiwa kimeanza kujengwa ndo ningeona habari
......
Mbezi mwishoKituo kipya cha mabasi kitajengwa wapi?
Najua ni matamko na siyo utekelezaji tu geambiwa kimeanza kujengwa ndo ningeona habari
......
Nawe piaUwe na siku njema
Huwa wanamwibia sana avatar yake, itabidi abadilishe aweke na password kabisaNimetoka jukwaa la siasa kuna mtu anatumia avatar kama ww nilijua ww kusoma jina sio
Huwa wanamwibia sana avatar yake, itabidi abadilishe aweke na password kabisa





Wapo wengi mbona nimewaonaNimetoka jukwaa la siasa kuna mtu anatumia avatar kama ww nilijua ww kusoma jina sio
ha ha utawapatia sana wezi wa avatarWapo wengi mbona nimewaona
Inaonesha avatar imehot
Dawa yao nikiibuka na avatar nyingine baada ya hii nitaandika na neno Bitoz
Hii itawafanya waone aibu "kumtangaza mtu" ila kwa hii avatar nimeishachelewa
............
Itawafanya watafute zao na siyo kuvizia humu humu JFha ha utawapatia sana wezi wa avatar
Itawafanya watavute zao na siyo kuvizia humu humu JF
...




wavivu wakutafuta zaoKitu cha mbege aseKaribuni wakuu!![]()
Time for lunch!! Karibuni kasikazini wakuu
Uko poa kapuku ???Mambo vp wakuu mishe mishe zilikuwaje?
Asantee kwa taarifaHalf Time:
Yanga![]()
Ndanda![]()
Ngoma
Ngoma
Tambwe
Mpaka sasa wafungaji wanaoongoza ni Tambwe,Kichuya na Msuva wote wametupia![]()
Ngoma ana![]()
.........
Asante kwa taarifaHalf Time:
Yanga![]()
Ndanda![]()
Ngoma
Ngoma
Tambwe
Mpaka sasa wafungaji wanaoongoza ni Tambwe,Kichuya na Msuva wote wametupia![]()
Ngoma ana![]()
.........