Majuu wanatumia plastic kutenda hii dhambi sisi ni mbao? Sipati picha uoe mke aliyezoea mbao kama hizi. Binadamu kweli kajaliwa akili. Anavyozitumia sasa ndo kasheshe. Kuna siku ataji-off mwenyewe katika dunia hii!
Unamkumbuka Mr. Dhaifu Mkwere Vasco da Gama fisadi mlea mafisadi? Haya ni baadhi tu ya majina mliyomuita naye akawachekea tu huku akiwaita ikulu na kuwanywesha chai pamoja na tende na halua. Hamjakaa sawa akaitia sahihi sheria ya makosa ya mtandao. Hamjakaa sawa akaona CCM isingeshinda kama ile katiba mpya ingepita huyooo kwa makusudi kabisa akaichakachua. Escrow ikaonekana itamuumbua akajitosa mwenyewe bungeni kuitetea kuwa zile hazikuwa pesa za umma. That's J.K. my friend. Master politician (Hata Edo anamtambua) but a questionable leader at best. Leo kageuka malaika. Sometimes in life you don't know what you have until it is taken away