Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,439
Petit! Fasi ya wapi wewe? Hapa Goma tuko Bien.Pappaa..ndenge nini ?
Petit! Fasi ya wapi wewe? Hapa Goma tuko Bien.Pappaa..ndenge nini ?
Ozali malamu ?Petit! Fasi ya wapi wewe? Hapa Goma tuko Bien.
Ee, nazali malamu! Nsango nini petit?Ozali malamu ?
Sango te pappaaEe, nazali malamu! Nsango nini petit?
Moninga! Ata, ndele tokozonga mboka..tokozonga Kinshasa.Sango te pappaa
Litakua baya, hebu pichaWadau karibuni liugali
Mambo!View attachment 449305bitoz pacha wako huyo ata mm nilikua najua anaishi dar
Hahahahaha bonge la ugaliLitakua baya, hebu picha
Unamkumbuka Mr. Dhaifu Mkwere Vasco da Gama fisadi mlea mafisadi? Haya ni baadhi tu ya majina mliyomuita naye akawachekea tu huku akiwaita ikulu na kuwanywesha chai pamoja na tende na halua. Hamjakaa sawa akaitia sahihi sheria ya makosa ya mtandao. Hamjakaa sawa akaona CCM isingeshinda kama ile katiba mpya ingepita huyooo kwa makusudi kabisa akaichakachua. Escrow ikaonekana itamuumbua akajitosa mwenyewe bungeni kuitetea kuwa zile hazikuwa pesa za umma. That's J.K. my friend. Master politician (Hata Edo anamtambua) but a questionable leader at best. Leo kageuka malaika. Sometimes in life you don't know what you have until it is taken awayWANASEMA MTU HATOJUA THAMANI YA MKONO WAKE MPAKA HUO MKONO UMTOKE...NAKUKUMBUKA SANA MH.![]()


. Poor Tanzania!!!


Mhanga # 1 wa JK the politician!
Moningà ,wanà kittokoMoninga! Ata, ndele tokozonga mboka..tokozonga Kinshasa.
Mkuu Quigley uko Poa???Mambo!
Niko poa ndg yangu, habari yakoMkuu Quigley uko Poa???
Kiukweli Mkwere ana mambo mengi tu yansyovutiaUnamkumbuka Mr. Dhaifu Mkwere Vasco da Gama fisadi mlea mafisadi? Haya ni baadhi tu ya majina mliyomuita naye akawachekea tu huku akiwaita ikulu na kuwanywesha chai pamoja na tende na halua. Hamjakaa sawa akaitia sahihi sheria ya makosa ya mtandao. Hamjakaa sawa akaona CCM isingeshinda kama ile katiba mpya ingepita huyooo kwa makusudi kabisa akaichakachua. Escrow ikaonekana itamuumbua akajitosa mwenyewe bungeni kuitetea kuwa zile hazikuwa pesa za umma. That's J.K. my friend. Master politician (Hata Edo anamtambua) but a questionable leader at best. Leo kageuka malaika. Sometimes in life you don't know what you have until it is taken away. Poor Tanzania!!!
![]()
Mhanga # 1 wa JK the politician!
Niliwahi kusema huwezi kumfahamu MZURI KABLA MBAYA hajapatikanaUnamkumbuka Mr. Dhaifu Mkwere Vasco da Gama fisadi mlea mafisadi? Haya ni baadhi tu ya majina mliyomuita naye akawachekea tu huku akiwaita ikulu na kuwanywesha chai pamoja na tende na halua. Hamjakaa sawa akaitia sahihi sheria ya makosa ya mtandao. Hamjakaa sawa akaona CCM isingeshinda kama ile katiba mpya ingepita huyooo kwa makusudi kabisa akaichakachua. Escrow ikaonekana itamuumbua akajitosa mwenyewe bungeni kuitetea kuwa zile hazikuwa pesa za umma. That's J.K. my friend. Master politician (Hata Edo anamtambua) but a questionable leader at best. Leo kageuka malaika. Sometimes in life you don't know what you have until it is taken away. Poor Tanzania!!!
![]()
Mhanga # 1 wa JK the politician!
Ila hapa amependezaaWANASEMA MTU HATOJUA THAMANI YA MKONO WAKE MPAKA HUO MKONO UMTOKE...NAKUKUMBUKA SANA MH.![]()
Namshukuru Mungu niko Poa mkuuNiko poa ndg yangu, habari yako
poa kaka za wwMambo!
Mukongo na taarifa ya habari ya saa mbili usiku ikisomwa saa saba usiku uwanja wa fisi