MWALIMU : ukiona msichana AMEZIMIA huduma ya kwanza inatakiwa umlaze Chali alafu uunganishe mdomo wake na wako umpulizie pumzi mdomoni huku unambonyeza kifuani taratibu... kuna mwenye swali ?
Deo: mwalimu Nauliza jinsi ya kufanya msichana azimie...?
Tatizo me nalikuwa najua asilimia mia akimaanisha mwisho ni 100%........sasa anaesema zaidi ya asilimia mia inamaana asilimia ni zaidi ya mia kwa mfano 1001% 200%