Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Ngoja nigegede mademu km 50 wa Jf labda ndo nitamfunika Faru John (Faru Mswati)fanya ujinga na wewe uwe supastaa ukiwa mchangani kama faru john
![]()
😀 😀 😀
.........
Ngoja nigegede mademu km 50 wa Jf labda ndo nitamfunika Faru John (Faru Mswati)fanya ujinga na wewe uwe supastaa ukiwa mchangani kama faru john
![]()
Faru John alikuwa anafanya uhuni tu mbugani halafu kawa supastaa
😀 😀 😀 😀
......









Imekubalii........sasa hivi napata notification kama kawaAisee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ngoja nigegede mademu km 50 wa Jf labda ndo nitamfunika Faru John (Faru Mswati)
😀 😀 😀
.........

Password vp umeikumbuka!Imekubalii........sasa hivi napata notification kama kawa
Upo bibie
Daaah nilikuwa na password kama kumi hivi ikabidi nijaribu moja mojaPassword vp umeikumbuka!
Anachosema ni sahihi kabisa / kushuhudia kitu au matukio kwa macho yake, ila huwa sio asilimia mia, huwa kama 75%Hivi mtu anaposema "kwa zaidi ya asilimia mia" yupo sahihi hapoo....,,,maana hapo kama kiswahili kinanipiga Chenga kwenye hyo sentesi
Tatizo me nalikuwa najua asilimia mia akimaanisha mwisho ni 100%........sasa anaesema zaidi ya asilimia mia inamaana asilimia ni zaidi ya mia kwa mfano 1001% 200%Anachosema ni sahihi kabisa / kushuhudia kitu au matukio kwa macho yake, ila huwa sio asilimia mia, huwa kama 75%
Ubaguzi wetu ni upi wewe kapukujamani mbona wabaguzi makapu wenzangu?
nimekosa wa kuchat naeUbaguzi wetu ni upi wewe kapuku
Makapuku hatulaliMakapuku kiboko. Yaani sijaingia huku 4 days kuna zaidi ya comment 300. Hii ni hatari
Nan huyo amekubagua mkuujamani mbona wabaguzi makapu wenzangu?
Kakubagua nan mwana?jamani mbona wabaguzi makapu wenzangu?
Hakuna zaidi ya asilimia miaHivi mtu anaposema "kwa zaidi ya asilimia mia" yupo sahihi hapoo....,,,maana hapo kama kiswahili kinanipiga Chenga kwenye hyo sentesi