shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
RIP Laurent1939 - Laurent Desire Kabila anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mara baada ya kuanguka kwa utawala wa Dikteta Mobutu Sesseseko.
Aliuwawa mwaka 2001.
RIP Laurent1939 - Laurent Desire Kabila anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mara baada ya kuanguka kwa utawala wa Dikteta Mobutu Sesseseko.
Aliuwawa mwaka 2001.
RIP Leon1967 - Leon M'ba anafariki Dunia.
Alikuea ni Rais wa kwanza wa Gabon.
Asante sana diktetaLeo katika Historia:
Niwatakie Jumapili njema.
Uongo want magazeti ya bongo nayo
Ni wewe tu, mimi nitaendaMagufuli uchumi umebana hatuezi enda
AiseeImebaki utata. Hata Brandon Lee ambaye ni mwanae wa kumzaa alipoenda Hong Kong kuchunguza kifo cha baba yake aliporudi alikufa kwa kupigwa risasi wakati wanaekti muvi ya The Crow.
Hivyo alikufa na siri yake moyoni maana hakuwahi kuweka wazi uchunguzi wake huo alioufanya.
Mwaka huu mtaenda wachacheMkuu nakupitia kwa usafiri wangu siku ya kwenda tar 21...afu tarehe 29 tunarudi town..
Tatizo sasa kama huna cha kupeleka ! Wazee wanaenda kukulaani
Ila tuwapelekee hata salamu mkuu ! Salamu si haba
Rafikiye castroAsante sana dikteta
Imekuwaje???Jose naye ni majanga Sasa, huwa hawezi kukontrol hisia zake
Kapewa redcardImekuwaje???
Njema mkuuZa asubuh wapendwa