Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,257
Leo katika Historia:
Niwatakie Jumapili njema.
Niwatakie Jumapili njema.
Huyu nae ni kati ya actors ninaowakubali!1940 - Bruce Lee anazaliwa.
Alikuwa ni mkali wa filamu za mapigano toka Hong Kong.
Alifariki kifo chenye utata mwaka 1973.
Bado anabakia kama mmoja wa watu maarufu katika karne ya 20.
Senkyu blazaLeo katika Historia:
Niwatakie Jumapili njema.
Alikiwa anajua sana.Huyu nae ni kati ya actors ninaowakubali!
Daah! Haka karoho ka ku-commit suicide kwanini kasiwaingia na wachezaji wengine wa EPL manake kuna story zilikuwa zina trend jana kuwa watavaa ribbon za kusupport LGBT2011 - Gary Speed anafariki Dunia.
Alijinyonga baada ya kuandamwa na kashfa za Ushoga.
Mpaka mauti yanamfika alikuwa ni kocha wa timu ya taifa ya Wales.
Enzi zake za uchezaji alitamba sana na klabu ya Newcastle United.
Sana, kuna story nyingi zinasemwa kuhusu kifo chake ila imebaki sintofahamu tu!!!Alikiwa anajua sana.
Hao ndio wafamasia na madaktari wetu,simu zao zimejaa picha hiczi,hawajielewi.
Wanaomba huruma ya public baada ya kukamatwa supplimentary!
sorry mkuu, sijakuelewa!!!Hahahahahaa! wakuu wa kaskazini wote.. tarehe zinakaribia




Magufuli uchumi umebana hatuezi endaHahahahahaa! wakuu wa kaskazini wote.. tarehe zinakaribia![]()
Mkuu nakupitia kwa usafiri wangu siku ya kwenda tar 21...afu tarehe 29 tunarudi town..Magufuli uchumi umebana hatuezi enda





Imebaki utata. Hata Brandon Lee ambaye ni mwanae wa kumzaa alipoenda Hong Kong kuchunguza kifo cha baba yake aliporudi alikufa kwa kupigwa risasi wakati wanaekti muvi ya The Crow.Sana, kuna story nyingi zinasemwa kuhusu kifo chake ila imebaki sintofahamu tu!!!
Mara mazoezi yalipita kiwango mishipa ikapasuka kwenye ubongo! Mara mamaster wa martial arts walimtumia mtu akampiga pigo fulani la kumzimisha!!! Mara wamarekani walimwondoa n.k n.k