Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo tumepata msiba wa Komredi Fidel Castro. Kiongozi aliyekuwa na misimamo thabiti dhidi ya Marekani.

Mmoja kati ya Viongozi niliokuwa nawakubali kwa uongozi wake uliotukuka kwa taifa la Cuba ambaye alipambana na vibaraka wa kimarekani katika mapinduzi ya Cuba ya 1959.

Upumzike kwa amani Fidel Castro, wasalimie sana akina Camilo Cienfuegos, Ernesto Che Guevara na hata Huber Matos.

Hakika ametimiza ule msemo usemao, Utakumbukwa si kwa utajiri, sifa au mali ulizoacha bali ni jinsi gani maisha yako yaliwagusa watu.

Pumzika kwa amani Komredi Castro.
 
Leo tumepata msiba wa Komredi Fidel Castro. Kiongozi aliyekuwa na misimamo thabiti dhidi ya Marekani.

Mmoja kati ya Viongozi niliokuwa nawakubali kwa uongozi wake uliotukuka kwa taifa la Cuba ambaye alipambana na vibaraka wa kimarekani katika mapinduzi ya Cuba ya 1959.

Upumzike kwa amani Fidel Castro, wasalimie sana akina Camilo Cienfuegos, Ernesto Che Guevara na hata Huber Matos.

Hakika ametimiza ule msemo usemao, Utakumbukwa si kwa utajiri, sifa au mali ulizoacha bali ni jinsi gani maisha yako yaliwagusa watu.

Pumzika kwa amani Komredi Castro.
Rest in peace comrade
 
Watakuja wajuvi subiri
c20e5621426bef8700ebfccb581c9d46.jpg
 
Leo tumepata msiba wa Komredi Fidel Castro. Kiongozi aliyekuwa na misimamo thabiti dhidi ya Marekani.

Mmoja kati ya Viongozi niliokuwa nawakubali kwa uongozi wake uliotukuka kwa taifa la Cuba ambaye alipambana na vibaraka wa kimarekani katika mapinduzi ya Cuba ya 1959.

Upumzike kwa amani Fidel Castro, wasalimie sana akina Camilo Cienfuegos, Ernesto Che Guevara na hata Huber Matos.

Hakika ametimiza ule msemo usemao, Utakumbukwa si kwa utajiri, sifa au mali ulizoacha bali ni jinsi gani maisha yako yaliwagusa watu.

Pumzika kwa amani Komredi Castro.
Pumzika kwa amani Castro
 
Leo tumepata msiba wa Komredi Fidel Castro. Kiongozi aliyekuwa na misimamo thabiti dhidi ya Marekani.

Mmoja kati ya Viongozi niliokuwa nawakubali kwa uongozi wake uliotukuka kwa taifa la Cuba ambaye alipambana na vibaraka wa kimarekani katika mapinduzi ya Cuba ya 1959.

Upumzike kwa amani Fidel Castro, wasalimie sana akina Camilo Cienfuegos, Ernesto Che Guevara na hata Huber Matos.

Hakika ametimiza ule msemo usemao, Utakumbukwa si kwa utajiri, sifa au mali ulizoacha bali ni jinsi gani maisha yako yaliwagusa watu.

Pumzika kwa amani Komredi Castro.
R.I.P
 
Leo tumepata msiba wa Komredi Fidel Castro. Kiongozi aliyekuwa na misimamo thabiti dhidi ya Marekani.

Mmoja kati ya Viongozi niliokuwa nawakubali kwa uongozi wake uliotukuka kwa taifa la Cuba ambaye alipambana na vibaraka wa kimarekani katika mapinduzi ya Cuba ya 1959.

Upumzike kwa amani Fidel Castro, wasalimie sana akina Camilo Cienfuegos, Ernesto Che Guevara na hata Huber Matos.

Hakika ametimiza ule msemo usemao, Utakumbukwa si kwa utajiri, sifa au mali ulizoacha bali ni jinsi gani maisha yako yaliwagusa watu.

Pumzika kwa amani Komredi Castro.
R. I. P komredi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom