Makapuku Forum

Makapuku Forum

1983 - Dean Ashton anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa West Ham na timu ya taifa ya Uingereza.

Alistaafu soka akiwa na miaka 26 kutokana na matatizo ya goti.

Alichukuliwa kama Straika mwenye uwezo sana ambaye angekuja kuisaida England siku za usoni lakini majeraha sugu ya goti yakahitimisha kipaji chake.
 
1963 - Lee Harvey Oswald anauwawa kwa kupigwa risasi.

Oswald anashukiwa kumuua Rais John F. Kennedy.
f0331907405d3a85dd262f14116f732e.jpg
8f2f60d530efc4d602f1ecbab3bb2637.jpg
eb7ddcfbbe1e298644b28cb3e4c35d78.jpg
 
1971 - Mtu aliyefahamika kama D.B. Cooper anateka ndegeya Northwest Airlines huko Marekani na kulazimisha kupewa kiasi cha Dola laki 200,000 kisha akaruka na parashuti kutoka angani.

D.B.Cooper hakuwahi kupatikana tena wala pesa alizoiba hazikuwahi kupatikana hata kwenye mzunguko wa pesa.

Licha ya msako mkali uliochukua takribani miaka 45, bado D.B.Cooper hajaonekana na wala hajulikani alipo.
ae3ff25e2c6f8c04b6cb413e6be49ad0.jpg
bdb6f9134684c25830ae770e27a9b2e7.jpg
1f990ee7909d7fdc977670cd7c7ff779.jpg

Ambaye hajaelewa aende jukwaa la inrelejensia story ipo huko
......
 
1971 - Mtu aliyefahamika kama D.B. Cooper anateka ndegeya Northwest Airlines huko Marekani na kulazimisha kupewa kiasi cha Dola laki 200,000 kisha akaruka na parashuti kutoka angani.

D.B.Cooper hakuwahi kupatikana tena wala pesa alizoiba hazikuwahi kupatikana hata kwenye mzunguko wa pesa.

Licha ya msako mkali uliochukua takribani miaka 45, bado D.B.Cooper hajaonekana na wala hajulikani alipo.
habari yake The bold aliiweka jukwaa la intelligence bonge la genius
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom