Makapuku Forum

Makapuku Forum

1479840731907.jpg
 
😀😀😀😀😀inabidi atembee kwa mguu hadi Ruangwa😀😀😀
Serikali ya sasa hizi inaboa ingekuwa timu ya mpira tungesema haina kocha wala kapteni wa timu .....yaani hakuna morali kabisa,mashabiki wanalazimishwa wanunue tiketi waingie uwanjan washangiliei wakati litimu lenyewe bovu linacheza rede tu uwanjani badala ya soka
......
 
Serikali ya sasa hizi inaboa ingekuwa timu ya mpira tungesema haina kocha wala kapteni wa timu .....yaani hakuna morali kabisa,mashabiki wanalazimishwa wanunue tiketi waingie uwanjan washangiliei wakati litimu lenyewe bovu linacheza rede tu uwanjani badala ya soka
......
Halafu uwanja hauna magoli,eti wanajisifia wanafunga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom