Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1916 - Samuel Goldwyn na Edgar Selwyn wanaanzisha kampuni ya kurekodi filamu ya Goldwyn Pictures.

Kampuni hiyo maarufu baadae ilikuja kujulikana kama Metro- Goldwyn- Meyer ( MGM ).
bf8b3763134220af8de9b2a815141b3b.jpg
09968b57cd169c48bd3cad9904766dbe.jpg
111ae53a0fa484ff0a5c27591c270353.jpg

Inazalisha pia filamu za Tom and Jerry
......
 
1965 - Laurent Blanc anazaliwa.

Beki wa zamani wa Barcelona, Inter Milan, Man Utd na timu ya taifa ya Ufaransa.

Alitwaa kombe la Dunia mwaka 1998 na Kombe la Ulaya mwaka 2000 akiwa na kikosi cha dhahabu cha Ufaransa kilichoingozwa na fundi Zidane. Aliunda safu kali ya ulinzi akiwa na Marcel Desailly na Bixente Lizarazu.

Alikuwa na kipara, kabla ya mechi kipa Fabien Barthez alikuwa lazima akibusu kipara cha Blanc.
037d7e60b3a886a8b0e180c6769fffc7.jpg
36808c4bc5d243b445d3fa67168c9b4d.jpg
f2b7adabb2d44eb24b7aa8bd7023ac18.jpg
8097f5387a715c41bb62241df1eeb0dc.jpg
 
RATIBA YANGU YA FUTIBOLI LEO

saa 9:30 naenda kucheki mechi ya Man U Vs Aseno(kupitia channel ya super sport Dstv)

Saa 12:00 nitakuwa kwangu naangalia mechi ya majogoo vs Southampton(hapa nmesevu jero kulipia kibanda umiza)

Saa 2:00 usiku mechi kati ya Bayern vs Dortmund hii match ntaangalia kwangu kupitia channel ya world football Startime(hapa pia nasevu jero langu)

Saa 4:45 usiku mechi kati ya real Madrid vs atletico madrid, hii itanilazimu pia kwenda kibanda umiza maana sina mkwanja wa kumiliki Dstv

Nb: leo nitatumia buku tu uangalia mechi 4 mfululizo
 
RATIBA YANGU YA FUTIBOLI LEO

saa 9:30 naenda kucheki mechi ya Man U Vs Aseno(kupitia channel ya super sport Dstv)

Saa 12:00 nitakuwa kwangu naangalia mechi ya majogoo vs Southampton(hapa nmesevu jero kulipia kibanda umiza)

Saa 2:00 usiku mechi kati ya Bayern vs Dortmund hii match ntaangalia kwangu kupitia channel ya world football Startime(hapa pia nasevu jero langu)

Saa 4:45 usiku mechi kati ya real Madrid vs atletico madrid, hii itanilazimu pia kwenda kibanda umiza maana sina mkwanja wa kumiliki Dstv

Nb: leo nitatumia buku tu uangalia mechi 4 mfululizo
La Liga mbona inaoneshwa AzamTv
Si useme unamiliki kaantena ka StarTimes

.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom