shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Alifanikiwa sana kuvunja hiyo USSR1985 - Rais Mikhail Gorbachev wa USSR anakutana na Rais Ronald Reagan wa Marekani huko Geneva, Uswizi kujadili mustakabali wa vita baridi.
Gorbachev anashukiwa kuwa ni Rais aliyewekwa madarakani na CIA na alitumwa kuivunja USSR kazi ambayo aliifanikisha vyema.