Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

Kwa udhamini mnono wa Paul Scholes, Kiungo fundi kabisa wa kiingereza, niwatakie siku njema.
Manchester%20United%201%20Barcelona%200

PA-10856776.jpg
main-qimg-16b7ff91fd5e1b130c1756b4989299fb-c
0C59278600000578-2916940-Paul_Scholes_gets_his_hands_on_the_European_cup_for_the_second_t-m-5_1421752198444.jpg
 
1974 - Paul Scholes anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Man Utd na timu ya taifa ya England. Ni zao la akademi ya Man Utd na alitokea katika " The class of 92 " kikosi cha vijana kilichochukua ubingwa wa F.A wa vijana akiwa na akina Gary na Phil Neville, Beckham, Nick Butty na Ryan Giggs.

Anatajwa kama moja ya viungo bora kabisa kuwahi kutokea Uingereza.

Alijua kupiga pasi za mbali zenye macho, kumiliki mpira na kupiga mashuti hasa mipira iliyokuwa nje ya 18 ( rebound ).

Alistaafu soka klabuni Man Utd mwaka 2011 kabla ya kurudi tena mwaka 2012 baada ya timu yake kukumbwa na majeruhi katika idara ya kiungo.

Leo hi ukiniuliza mchezaji gani aliyestaafu ningependa arudi Man Utd, probably atakuwa Scholes.
HBD Paul
 
1974 - Paul Scholes anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Man Utd na timu ya taifa ya England. Ni zao la akademi ya Man Utd na alitokea katika " The class of 92 " kikosi cha vijana kilichochukua ubingwa wa F.A wa vijana akiwa na akina Gary na Phil Neville, Beckham, Nick Butty na Ryan Giggs.

Anatajwa kama moja ya viungo bora kabisa kuwahi kutokea Uingereza.

Alijua kupiga pasi za mbali zenye macho, kumiliki mpira na kupiga mashuti hasa mipira iliyokuwa nje ya 18 ( rebound ).

Alistaafu soka klabuni Man Utd mwaka 2011 kabla ya kurudi tena mwaka 2012 baada ya timu yake kukumbwa na majeruhi katika idara ya kiungo.

Leo hi ukiniuliza mchezaji gani aliyestaafu ningependa arudi Man Utd, probably atakuwa Scholes.
Halafu hakuwa na Mboyoyo, Mkimyaaaa!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom