Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
HBD kapukuNawatakia asubuh njema ..nimebahatika kuongeza mwaka mwingine ..happy birthday to me
Live longer
Uje Mabibo Beach uchukue kambale
..........
HBD kapukuNawatakia asubuh njema ..nimebahatika kuongeza mwaka mwingine ..happy birthday to me
1988 - Katika Uchaguzi Mkuu wa kwanza mara baada ya miaka takribani 10 huko Pakistan, Benaziri Bhutto anachaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa Nchi hiyo.
1930 - Chinua Achebe anazaliwa.
Ni mwandishi nguli wa Fasihi kutoka nchini Nigeria.
Baadhi ya kazi zake ni Things Fall A part, No longer At Ease na A Man Of The People.
Nakipenda sana 'A Man of The People.'Km uluenda sekondari halafu hujawahi kumsoma basi umepungukiwa vitamini kichwani
.......
1961 - Frank Bruno anazaliwa.
Ni bondia wa zamani wa uzito wa juu wa toka nchini Uingereza.
Nakipenda sana 'A Man of The People.'
Nakumbuka pambano lake mwaka 1997 kipindi hiko tunacheki mpambano Alfajiri.![]()
![]()
![]()
Tyson alimchana juu ya jicho ikawa noma
.........
1971 - Mustapha Hadji anazaliwa.
Winga wa zamani wa Aston Villa na timu ya taifa ya Morocco.
Alitamba sana enzi zetu![]()
![]()
![]()
Alikuwa fundi
......
Wa ukweli![]()
![]()
![]()
Alikuwa fundi
......
Coventry City ndo alikuwa km mungu waoAlitamba sana enzi zetu
Asante sana diktetaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Paul Scholes, Kiungo fundi kabisa wa kiingereza, niwatakie siku njema.
1974 - Paul Scholes anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Man Utd na timu ya taifa ya England. Ni zao la akademi ya Man Utd na alitokea katika " The class of 92 " kikosi cha vijana kilichochukua ubingwa wa F.A wa vijana akiwa na akina Gary na Phil Neville, Beckham, Nick Butty na Ryan Giggs.
Anatajwa kama moja ya viungo bora kabisa kuwahi kutokea Uingereza.
Alijua kupiga pasi za mbali zenye macho, kumiliki mpira na kupiga mashuti hasa mipira iliyokuwa nje ya 18 ( rebound ).
Alistaafu soka klabuni Man Utd mwaka 2011 kabla ya kurudi tena mwaka 2012 baada ya timu yake kukumbwa na majeruhi katika idara ya kiungo.
Leo hi ukiniuliza mchezaji gani aliyestaafu ningependa arudi Man Utd, probably atakuwa Scholes.
Nilikuwa ndio msomaji wa vitabu vya kiingereza darasani,wenzangu wote walikuwa vilazza.😀😀😀😀😀😛😛😛Kipo poa
Bila shaka ulikuwaga unamkimbia Okonkwo
.......
Kipindi hicho nilikuwa dogo lakini asubuhi asubuhi nadamkia nyumba ya jirani "tajiri" mwenye TV ya chogoNakumbuka pambano lake mwaka 1997 kipindi hiko tunacheki mpambano Alfajiri.