Makapuku Forum

1990 - Georginio Wijnaldum anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Fayernood, Newcastle ambaye kwasasa anakipiga Liverpool na timu ya taifa ya Uholanzi.

1988 - Kyle Naughton anazaliwa.

Beki wa kulia wa Swansea kutoka nchini Uingereza.

Pia aliwahi kukipiga Tottenham.


1983 - Arouna Kone anazaliwa.

Straika wa zamani wa Wigan na timu ya taifa ya Ivory Coast ambaye kwasasa anakipiga Everton.

1977 - Maniche anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Porto, Chelsea, Benfica, Inter Milan, Atletico Madrid na timu ya taifa ya Ureno.

Alitwaa taji la ligi ya mabingwa ulaya mwaka 2004 akiwa na Porto ya Mourinho.
Naona leo siku ya Playerz tena.

HBD to all Playerz
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…