Makapuku Forum

- Leo ni Remembrance Day huko Uingereza.

Ni siku ya kuwakumbuka mashujaa wote waliopoteza uhai wao vitani kwa ajili ya nchi yao.

Wanakumbukwa wanajeshi wote waliopoteza uhai wao katika uwanja wa mapambano, Wale waliopotea na kutojulikana walipo toka katika uwanja wa kivita (Missing In Action ) kuanzia vita kuu ya kwanza ya Dunia.

Waingereza huvaa maua ya poppy katika kuwaenzi na ibada ya kuwakumbuka itafanyika jumapili hii.
 

Wachezaji 15 wa Man Utd walifia vitani
......
 
 
No red card!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…