Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Nimeshangaa kweli eti uzi ule tusome tu ila hakuna kuchangia chochote.
....Nimeshangaa kweli eti uzi ule tusome tu ila hakuna kuchangia chochote.
....Ila jamaa wamekuwa "wakubwa" now wamejisahau
Lakini Makapuku halisi tutaendelea kuwepo wakati wa shida(thread kupungua kasi) na raha(thread inapochangamka)
Once a kapuku always a kapuku
.........

Morning brotherMorning family
Morning mkuuuMorning family
Naona uko poa huku ukifuatilia nani atakuwa rais wa DuniaMorning mkuuu
Ni kwelii mkuu niko nasikilizaa BBC mambo sio mabaya...kilichotegemewa naona yawezekana kikawa opposite..Naona uko poa huku ukifuatilia nani atakuwa rais wa Dunia
Hebu nidokeze mwelekeo mkuuNi kwelii mkuu niko nasikilizaa BBC mambo sio mabaya...kilichotegemewa naona yawezekana kikawa opposite..
Hivi bado tu hajatangazwa?Naona uko poa huku ukifuatilia nani atakuwa rais wa Dunia
Sio kirahisi kiasi hiki mkuuHivi bado tu hajatangazwa?
Mkuu oposite tena wyiNi kwelii mkuu niko nasikilizaa BBC mambo sio mabaya...kilichotegemewa naona yawezekana kikawa opposite..
Achana na madekioNimeshangaa kweli eti uzi ule tusome tu ila hakuna kuchangia chochote.
Ngojea tusubiri huyo wa duniaSio kirahisi kiasi hiki mkuu
Poa mkuuNgojea tusubiri huyo wa dunia
KWELI mkuu ..hii taarfa ya 150 kwa mr zidi ya 109 kwa Mrs..wengi naona imewashtua...japo mm nmefurahiiMkuu oposite tena wyi
Ha ha mimi najua mungu atatenda miujiza. Yaani marekani iongozwe na trampKWELI mkuu ..hii taarfa ya 150 kwa mr zidi ya 109 kwa Mrs..wengi naona imewashtua...japo mm nmefurahii
. Ningekuwa mungu ninge mpa tu Clinton ushindi basi

Kwa ripoti ya BBC mkuu ata mtangazaji alikuwa na kigugumizii ..anadai kilichokuwa kwenye kura za maoni sio kinachotokea...mzee yuko pazuriHebu nidokeze mwelekeo mkuu
Mr Trump anakadiriwa kushinda West Virginia, Kentucky, Indiana, Tennessee, South Carolina, Oklahoma na Alabama....Hebu nidokeze mwelekeo mkuu

Ahaaaaaaa mkuu mzee kakaba ...hakuna namna lets America be stronger againHa ha mimi najua mungu atatenda miujiza. Yaani marekani iongozwe na tramp![]()
![]()
![]()
![]()
. Ningekuwa mungu ninge mpa tu Clinton ushindi basi
![]()
![]()
![]()