Makapuku Forum

1962 - Abedi Pele anazaliwa.

Ni staa wa zamani wa Marseille, Lyon na timu ya taifa ya Ghana.

Ametwaa Kombe la Mataifa Huru ya Afrika mwaka 1982 akiwa na kikosi cha Ghana.

Pia ametwaa ubingwa wa Ulaya akiwa na Marseille mwaka 1993.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…