Makapuku Forum

Mahaba gani? maana mi matukio sijaona vzr
AzamTv wenyewe wanaficha matukio hata hawaeleweki
Wanaonyesha mpira au wanatangaza km redio maana matukio muhimu hawaonyeshi vizuri kuondoa utata
....
Goli la pili lilipofungwa akaita kati halafu akakataa baadae kusema sio goli.

Baada ya Mbeya city kugoma na kutishia kutoka akakubali kuwa ni goli halali.
 
Jonax
Shululu
Quigley
Mussolin5
Macaveli10
Jimenna Jimenes
Tetramelys
Sacajo
Bitoz
Cobblepots
Mkushi wa kusi
Kitabu
Kitwanga....Miss you guys...haya ni maisha tu yanafanya nashindwa kutokea mara kwa mara ila sijawaacha nikiwa napata nafasi kama hivi nadumbukia nagonga likes....tunaendelea!
 
Na Mukongo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…