Makapuku Forum

Makapuku Forum

1984 - Waziri Mkuu wa India Indira Gandhi anauwawa walinzi wawili.
Screenshot_2016-10-31-08-59-27.png
Screenshot_2016-10-31-08-58-52.png
IMG_20161031_090132.jpeg
IMG_20161031_090114.jpeg
IMG_20161031_090055.jpeg
 
1979 - Simao Sabrosa anazaliwa.

Mwanasoka wa zamani wa Ureno.
Birthday ya wanasoka leo!!!
1976 - Guti anazaliwa.

Ni mwanasoka wa zamani wa Real Madrid na timu ya taifa ya Hispania.

1963 - Dunga anazaliwa.

Mchezaji na kocha wa zamani wa Brazil.

1964 - Marco Van Basten anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa Ajax, Ac Milan na timu ya taifa ya Uholanzi.

Alistaafu soka mapema kutokana na majeruhi ya goti.

1965 - Denis Irwin anazaliwa.

Ni mwanasoka wa zamani wa Man Utd na Timu ya taifa ya Ireland.

Beki wa kushoto aliyekuwa anaweza kutumia miguu yote miwili kwa ufasaha.

Pia alikuwa ni mtaalam wa mipira iliyokufa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom