Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1974 - Pambano la ngumi la kukata na shoka lililojulikana kama " Rumble in the Jungle " kati ya Muhammad Ali na George Foreman lafanyika huko Kinshasa nchini Zaire.

Pambano hilo linatajwa kama moja kati ya mapambano bora kabisa ya ndondi kuwahi kutokea.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…