Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Hujajibu swali
.....
Hujajibu swali
NishaupataUle uzi wa mfalme wa morroco uliupata au nikuletee link hapa?
HaaaahaaaaNishaupata
Mfalme mwenyewe anapozi za kike
Anarembua
![]()
![]()
![]()
....
Hujajibu swali
.....
Nani huyu
Karibu tenaNimerudi makapuku
Nishaupata
Mfalme mwenyewe anapozi za kike
Anarembua
![]()
![]()
![]()
....
Nilinasa habari zake baada ya ku google
Njema, welcome backHabari za humu wadau??
Swit p, mremboNani huyu
Nafurahi kuskia uko poa, unafurahia wap wikend yako?Poa sana
Kukumiss tu
Poleni aisee, ukiona maumivu yanazidi unaweza kuhamia kwa ankali shululu mana inaonekana upande wake uko vizuriUsingizi niupate wapi, wakati MUFC inanipa pressure.
But now ndo naaamka, MORNING


siku zote nabii hakubaliki kwao, basi ukinikita kona zangu jinsi nnavyotishia na kiwapiga mikwara member ni hatari.
Huku naonekana dogo ila kwa vile kule hawanijui basi huwa na mm nawaita "dogo"
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()




kuna moja nimeiona umemjambisha mtu kwamba ana ID mbiliNi poa sana, karibu mdau..Habari za humu wadau??
Ukimuona huyu mtu popote alipo naomba uniletee
Mm n MUFC die hard fanPoleni aisee, ukiona maumivu yanazidi unaweza kuhamia kwa ankali shululu mana inaonekana upande wake uko vizuri![]()
Yule ungabure ni limbukeni sana..kuna moja nimeiona umemjambisha mtu kwamba ana ID mbili