Makapuku Forum

Makapuku Forum

4dbf4abbf13d874aac25a60ab54b840f.jpg

[emoji39] [emoji39]
 
[emoji23] siku zote nabii hakubaliki kwao, basi ukinikita kona zangu jinsi nnavyotishia na kiwapiga mikwara member ni hatari.
Huku naonekana dogo ila kwa vile kule hawanijui basi huwa na mm nawaita "dogo"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna moja nimeiona umemjambisha mtu kwamba ana ID mbili
 
Poleni aisee, ukiona maumivu yanazidi unaweza kuhamia kwa ankali shululu mana inaonekana upande wake uko vizuri [emoji4][emoji4]
Mm n MUFC die hard fan
Siwezi kuisaliti au kuihama kamwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna moja nimeiona umemjambisha mtu kwamba ana ID mbili
Yule ungabure ni limbukeni sana..
Hvyo lazma nmpe za chembe
 
Back
Top Bottom