Makapuku Forum

Makapuku Forum

1917 - Oliver Tambo anazaliwa.

Alikuwa ni mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchini Afrika Kusini.

Alikuwa ni mwanasiasa mashuhuri kutoka chama tawala cha ANC na mpigania Uhuru wa Nchi hiyo kando ya Nelson Mandela, Walter Sisulu na wwngineo.

Alifariki mwaka 1993 akiwa na miaka 75.

Kwaheshima yake, Uwanja wa Ndege wa Johannesburg umepewa jina lake na unajulikana kama Oliver Tambo International Airport.
Katika hao huwezi kumsahau Steve Biko
 
1957 - Glenn Hoddle anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa Tottenham, Chelsea na Monaco.

Pia ni kocha na aliwahi kuifundisha timu ya taifa ya England kwenye Kombe la Dunia mwaka 1998 kabla ya kujiuzilu mwaka 2000 baada ya kusema watu walemavu wapo na ulemavu kutokana na dhambi zao hivyo Mungu amewaadhibu.

Kauli hiyo iliibua mjadala mkubwa nchini Uingereza na ikapelekea Hoddle kupata shinikizo la kujiuzulu.
 
1957 - Glenn Hoddle anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa Tottenham, Chelsea na Monaco.

Pia ni kocha na aliwahi kuifundisha timu ya taifa ya England kwenye Kombe la Dunia mwaka 1998 kabla ya kujiuzilu mwaka 2000 baada ya kusema watu walemavu wapo na ulemavu kutokana na dhambi zao hivyo Mungu amewaadhibu.

Kauli hiyo iliibua mjadala mkubwa nchini Uingereza na ikapelekea Hoddle kupata shinikizo la kujiuzulu.
Screenshot_2016-10-27-09-59-25.png
Screenshot_2016-10-27-09-59-39.png
Screenshot_2016-10-27-10-01-09.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom