shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Iko njema kabisakwema, Alhamisi inakuaje?
Iko njema kabisakwema, Alhamisi inakuaje?
Me nipo....tatizo majukumu yananibanaNipo ndo nashangaa hapa...sijakuona kitambo humu afande!
Morning, upo jiraniMorning jirani yangu...
Kitambo sana wewe mutuBonjour Afwande
Mambo mukongoMorning guys
Kumbe tumeagiza kupenya siku nyingiLeo katika Historia:
1954 - Benjamin O. Davis anakuwa Mmarekani wa kwanza mwenye asili ya Afrika kuwa Jenerali katika Jeshi la Ulinzi la Anga la Marekani.
Pressure yake imeshukaNaona Maurinho kafuraaahi mwenyewe!
We acha tu, majukumu dugu anguKitambo sana wewe mutu
Atakuwa alipambana sanaNafikiria tu alivyovuka vihunzi vya ubaguzi
Papaa Shu, Habari ya veve?Mambo mukongo
Imefika tenaMAN U buaaaaana!!
Morning MpMorning shululu
Mzma weweMorning Mp
Iko byePapaa Shu, Habari ya veve?

1988 - Rais wa Marekani, Ronald Reagan anasimamisha ujenzi wa Jengo la Ubalozi la Marekani nchini Urusi baada ya kugundua vinasa sauti vilivyotegwa kwenye jengo hilo.
We nae Avatar yako mbaya sana jamani mweMzma wewe
HBD1917 - Oliver Tambo anazaliwa.
Alikuwa ni mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchini Afrika Kusini.
Alikuwa ni mwanasiasa mashuhuri kutoka chama tawala cha ANC na mpigania Uhuru wa Nchi hiyo kando ya Nelson Mandela, Walter Sisulu na wwngineo.
Alifariki mwaka 1993 akiwa na miaka 75.
Kwaheshima yake, Uwanja wa Ndege wa Johannesburg umepewa jina lake na unajulikana kama Oliver Tambo International Airport.
1917 - Oliver Tambo anazaliwa.
Alikuwa ni mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchini Afrika Kusini.
Alikuwa ni mwanasiasa mashuhuri kutoka chama tawala cha ANC na mpigania Uhuru wa Nchi hiyo kando ya Nelson Mandela, Walter Sisulu na wwngineo.
Alifariki mwaka 1993 akiwa na miaka 75.
Kwaheshima yake, Uwanja wa Ndege wa Johannesburg umepewa jina lake na unajulikana kama Oliver Tambo International Airport.